Mirembe Mental Hospital. DAKTARI :- Unajisikiaje? Brayo:-Kila siku naota nyani wanacheza mpira wa miguu. DAKTARI :- Nitakupa dawa leo hautaota tena. Brayo:-hiyo dawa nipe kesho sababu leo wanacheza fainali,na nilibet 😂😅 Brayo jo