Ukiuliza mkamba ni simu gani anatumia alafu aseme "uuuuwi" Hiyo sio nduru anapiga ,anajaribu kusema "Huawei"😂😂😂😂😂😂👉👉👉👉🏃♂🏃♂🏃♂🏃♂🏃♂🏃♂🏃♂🏃♂🏃♂👌👌👌👌👌👌👌👉👉👉